Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Wairimu (Guest) on April 27, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on April 9, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 15, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on February 16, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mwanaidi (Guest) on February 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Halima (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on January 12, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on January 11, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on December 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Amina (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on September 21, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Wangui (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Salma (Guest) on August 1, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on June 22, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Nancy Komba (Guest) on June 9, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

James Kimani (Guest) on May 11, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on May 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jaffar (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 21, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on April 2, 2019

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on March 23, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Njuguna (Guest) on March 11, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

David Kawawa (Guest) on February 21, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on December 4, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Christopher Oloo (Guest) on November 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on November 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on October 16, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on October 6, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Chepkoech (Guest) on September 9, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanahawa (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Richard Mulwa (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Minja (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Maneno (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on July 7, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 29, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 27, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Stephen Malecela (Guest) on May 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 9, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on April 20, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on April 13, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Samson Tibaijuka (Guest) on April 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on April 8, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Diana Mallya (Guest) on February 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on February 15, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nassor (Guest) on January 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Related Posts

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More