Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on January 1, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Abubakar (Guest) on November 22, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Isaac Kiptoo (Guest) on November 20, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Martin Otieno (Guest) on September 19, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on August 25, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Nkya (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on July 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kazija (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwalimu (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on May 13, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on May 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Janet Sumari (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Malima (Guest) on April 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Susan Wangari (Guest) on April 2, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Azima (Guest) on March 31, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Sarah Mbise (Guest) on March 13, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamida (Guest) on March 12, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwakisu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Malela (Guest) on January 24, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on January 22, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on January 16, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on January 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on January 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 31, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rahma (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarafina (Guest) on December 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Malecela (Guest) on November 27, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Henry Sokoine (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jafari (Guest) on September 23, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Raphael Okoth (Guest) on August 5, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mazrui (Guest) on July 27, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on April 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on April 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Francis Njeru (Guest) on February 22, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on January 23, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 30, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on December 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More