Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

NAKUA kaingia ndani kamkuta mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati
NAKUA: Aise unajua we fala sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na mwanao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kabura (Guest) on September 16, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Victor Sokoine (Guest) on September 16, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Halima (Guest) on September 15, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Malima (Guest) on September 2, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on August 18, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on July 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bakari (Guest) on May 14, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Janet Mbithe (Guest) on April 27, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mariam Kawawa (Guest) on April 3, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on March 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on March 6, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Victor Malima (Guest) on February 21, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mchuma (Guest) on February 19, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on February 19, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Omari (Guest) on February 2, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Ndungu (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on January 26, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on December 26, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on December 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on December 20, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 14, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on October 31, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on October 17, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Akumu (Guest) on October 1, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 29, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Mrema (Guest) on August 19, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on August 8, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on July 10, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on June 17, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on June 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on June 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 7, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on May 12, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on May 1, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 26, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Zawadi (Guest) on April 13, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Faiza (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Shamsa (Guest) on February 25, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on February 9, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mustafa (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Njuguna (Guest) on January 8, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salima (Guest) on December 28, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Andrew Mahiga (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on December 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on December 8, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on December 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mashaka (Guest) on November 2, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 27, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on October 23, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More