Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.
Majitoleo ya Asubuhi
Date: August 17, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More
Sala ya Asubuhi ya kila siku
SALA YA JIONI
TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA
BABA YETUβ¦β¦β¦β¦β...
Read More
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More
SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyike
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More
Sala kwa Mtakatifu Yosefu
Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More
NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov... Read More
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More
Peter Otieno (Guest) on November 23, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Anna Mchome (Guest) on September 14, 2017
πππ Mungu akufunike na upendo
Janet Mwikali (Guest) on September 8, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Grace Njuguna (Guest) on July 3, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Kevin Maina (Guest) on December 24, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
David Kawawa (Guest) on September 10, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Peter Mugendi (Guest) on September 10, 2016
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Rose Kiwanga (Guest) on July 5, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Agnes Sumaye (Guest) on June 11, 2016
Sifa kwa Bwana!
Grace Mligo (Guest) on May 16, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
Sarah Karani (Guest) on March 21, 2016
Endelea kuwa na imani!
Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2016
πππ« Mungu ni mwema
Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2016
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015
Rehema hushinda hukumu
Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Elizabeth Mrema (Guest) on July 22, 2015
Nakuombea π
Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2015
ππ Mbarikiwe sana
Charles Mrope (Guest) on June 1, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
Sekela (Guest) on April 27, 2015
πππ
Violet Mumo (Guest) on April 7, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine