Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Featured Image

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda​

Konda- bibi twende sit kibao ata utalala

Bibi - oooh sawa mjukuu

Konda - simama tu apo wanashuka mbele

Bibi - akacheka sana tu

Konda- mbona unacheka bibi

Bibi - mjukuu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele

Watu- simamisha gar

Saiv bibi kabaki mwenyewe amelala sit ya nyumaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Malecela (Guest) on June 29, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on June 10, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Halima (Guest) on May 31, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Dorothy Nkya (Guest) on March 7, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 27, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mbithe (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 19, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 9, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on January 31, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on January 26, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 12, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

David Ochieng (Guest) on January 4, 2024

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Salima (Guest) on January 1, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 29, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Esther Nyambura (Guest) on December 23, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on December 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on October 9, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ibrahim (Guest) on September 4, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Asha (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Moses Mwita (Guest) on August 7, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Halimah (Guest) on July 16, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Agnes Njeri (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zuhura (Guest) on June 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Jane Muthoni (Guest) on June 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on June 20, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sarafina (Guest) on June 18, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on May 31, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 11, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on May 3, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kheri (Guest) on May 3, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mariam (Guest) on April 21, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Samuel Omondi (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Baridi (Guest) on February 23, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Richard Mulwa (Guest) on February 21, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 14, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Mallya (Guest) on January 28, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on January 9, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on January 3, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on November 27, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on November 8, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on November 6, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on November 2, 2022

🀣πŸ”₯😊

Ann Awino (Guest) on October 28, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on October 11, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Chris Okello (Guest) on October 5, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Kazija (Guest) on August 17, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Rabia (Guest) on July 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nuru (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Agnes Sumaye (Guest) on May 7, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on April 30, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Daniel Obura (Guest) on April 29, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rahim (Guest) on March 25, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Related Posts

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More