Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Maana kamili ya Kwaresma

Featured Image
50 Comments

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Featured Image
Huruma ya Mungu ni kama mvua ya baraka, inayomwagika na kuondoa kila tope la dhambi. Hii ni karama ya upatanisho na ukarabati, ambayo inaleta furaha na amani moyoni.
50 Comments

Ufalme wa simu wa sasa

Featured Image

➡ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandani, kabla hata hajajifunua shuka,

👉ATARIPOTI KWA SIMU KWANZA KABLA YA KURIPOTI KWA YEYOTE, NDIO HAPO UNAONA MTU AKIAMKA KABLA HATA HAJASALI KWA MUNGU ANAAMKIA SIMU KWANZA KUIKAGUA,
- Nani alinitafuta?
-Nani alini-text?
-WhatsApp nani kanitumia msg?
- kwenye magroup kuna mpya gani?
- Fb kuna post gani kali?
- nani kaweka picha kali leo?

50 Comments

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Featured Image
Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu!
50 Comments

Kuumbwa kwa mtu, Mungu alivyoumba binadamu

Featured Image
50 Comments

Maombi Saba Yaliyo Katika Sala ya Baba yetu

Featured Image
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?

Featured Image
Ni muhimu sana kujua imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu. Kanisa linathamini sana haki za kibinadamu na linasisitiza umuhimu wa kuheshimu haki hizo kwa kila mtu. Kwa hiyo, ni wajibu wetu kuendelea kupigania haki za binadamu ili kufikia jamii yenye usawa na amani.
50 Comments

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sana…
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akapona…

50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Featured Image
What is the Catholic Church's belief on the sacrament of marriage? Let's explore this joyous topic together!
50 Comments

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Featured Image

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio mahali pa kupunguzia shida. Ndoa sio mbadala wa elimu na michakato ya kimaisha. Huolewi ili kupunguza adha za maisha. NDOA ni jukumu zito kuliko hata kusoma masters degree ya Neuro-surgeon. Wengi hamjaweza kumudu maisha yenu binafsi na bado mnalilia Mungu kuwaongezea jukumu la kumeneji maisha ya mtu mwingine.

50 Comments