UKIPATA MUDA SOMA ITASAIDIA SANA
Mimi ni mwanamke wa miaka 27, nilikuwa katika mahusiano mabaya yasiyo na tija kwa kipindi cha miaka minne.
Nilipokutana na huyo mwanaume nilifikiri yeye ndie fungu langu, maneno yake matamu na mbwembwe nyingi viliniamninisha kwamba kweli ananipenda na kusema kweli niliingia katika mtego wake.
Nilifanya kila jambo ambalo mwanamke apaswa kumfanyia mwanaume wake, nilijaribu kumuaminisha kwamba nampenda kweli, nilijitoa sadaka maisha yangu kwa ajili yake lakini alikuwa kipofu kuyaona yale niliyokua nikimfanyia.
Alichojua kukizungumza vizuri ni kuwasifia tu wanawake wengine au wanawake wa marafiki zake na kunieleza jinsi gani walivyo wazuri, mitindo gani ya nywele inayompa wazimu na alikuwa akinilaumu kwa kila jambo kwamba mimi namletea kiwingu.
Nikaanza kutojiamini na kujidharau, nikajiona sina thamani tena na sina mvuto kwa sababu alikuwa akiniambia hakuna mwanaume atakaenipenda mimi. Na kuwa nina bahati ya kuwa na handsome kama yeye anayegombaniwa na wanawake wengi.
Siku moja alifanya kosa kwa kuniita mimi nimechanganyikiwa na kwamba mimi sio type yake na hawezi kunioa, niliumia mno siku ile, nilikuwa chuo wakati huo nikikaribia kufanya mtihani wa mwisho kabisa kumaliza chuo.
Sikuweza kusoma, nilichanganyikiwa sana na nililokua nafikiria ni kujitoa uhai tu, nilichukia kila kitu na nikajichukia na mimi mwenyewe. Aisee nilimpenda yule mwanaume.
Ila nashukuru Mungu aliingilia kati, nilikua room kwangu, baada ya kulia sana na kuomboleza juu ya mateso ya kihisia ninayoyapata ikiwemo na kudharauliwa, nilisimama mbele ya kioo na nikatizama mwanamke mzuri aliesimama mbele ya kioo.
Nikajipa matumaini, nikajivuta na kujikusanya, nikafumba macho yangu kwa dakika kumi nikapumua kwa nguvu. Nikajiambia 'i will get it over.' nikaanza kujisomea kwa ajili ya kujiandaa na mitihani.
Nilisoma, nikafanya mitihani salama na nikahitimu chuo kikuu. Baada ya kumaliza chuo kikuu nilikaa kama miezi mitatu nikapata kazi katika kampuni fulani ya mafuta hapa mjini nikiwa katika idara ya rasimali watu.
Sikutaka kupenda tena, nilijikita katika kazi yangu ambayo kimsingi niliipenda sana, wafanyakazi wenzangu wote walinipenda kwa jinsi nilivyokua mcheshi na mkurugenzi alifurahi sana maana nilikua nikifanya kazi kwa bidii zote.
Baada ya kama mwaka mmoja nilikutana na mwanaume, ambae hakutaka hata kusubiri muda mrefu akajitambulisha kwa wazaz wangu, akanitambulisha kwako na akanivisha pete ya uchumba.
Tulifunga ndoa baada ya miezi sita, na sasa nimeolewa na mwanaume anaenipenda mpaka najishtukia. Sijui mwanaume huyu alilelelewa na mama wa aina gani, mara kwa mara hua nampigia simu mama yake na kumshukuru kwa kumleta duniani huyu mwanaume alienifanya nijisikie mwanamke imara!
Kwa sasa nimefanikiwa mambo mengi ambayo kimsingi nadhani nisingefanikiwa kama ningeendelea kumng'ang'ania yule
Baada ya kupotezana kwa muda mrefu Alinitafuta siku moja facebook, na kuniomba tuonane ana jambo anataka kuniambia. Nilionana nae katika mgahawa fulani uliopo mjini, nilimuona akiwa amechoka hana hili wala lile, akaniambia hana kazi baada ya kugundulika alifanya ubadhirifu wa pesa ya mradi (alikuwa ni mtu wa starehe sana, pombe na wanawake, asifahamu kwamba pombe na wanawake hupotosha wanaume wenye akili).
Hakuamini kuniona nikiwa na pete ya ndoa, ninaendesha gari zuri na ninafuraha, alidhani nitakua nimechoka kama yeye. Aliniomba msamaha me nikamwambia nimeshamsamehe tokea kitambo aendelee tu na maisha yake.
Nikaja gundua kwamba haikuwa hasara kwangu kwa yeye kuniacha, bali alipata hasara kubwa yeye kuniacha mtu niliyempenda kweli na niliekuwa na ndoto za kumsaidia afanikiwe katika maisha.
Maisha ndivyo yalivyo, safari ya mapenzi hua na mabonde na milima, kuna nyakati utafurahia na nyakati utapata uchungu na kujuta kwanini ulipenda, ila katika hali unayopitia tambua kua kuna makusudi iliyo wazi ya kukuwezesha kuwa na nguvu na ujasiri.
Sasa nakuombea wewe ambae unasoma ujumbe huu leo, Mwenyezi Mungu akakuongoze na kukufariji katika magumu unayopitia, yule ambae amekuacha na amekudharau atakuja kukupigia magoti pale ambapo baraka zako zitakapong'ara.
Tabia ya kua na mahusiano na mtu zaid ya mmoja alafu unawafanyia COMPARISON sio VIZURI hata Mungu hapendi, CHAGUA mmoja wengine waambie UKWELI USIMPOTEZEE MUDA(Nguki et al 2016). Fanya kitu ambacho hata wewe ungependa kufanyiwa. Ucku mwema nyote
Soma na kutoa Maoni kuhusu Soma Hii itakusaidia sana
πππUsisahau kushare posti hii kuhusu (Soma Hii itakusaidia sana).π Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasomeπ―β
β€ Makala za sasa za Familia, Mapenzi na Mahusianoπ

β’ Mafundisho ya kipekee ya Mkristu. 08 Aug 2017 16:10, (featured-katoliki: ushauri). Mafundisho ya kipekee ya Mkristu
β’ VISA-VYA-ASUBUHI-HII. 08 Apr 2018 12:34, (vichekesho-na-picha: ushauri). VISA-VYA-ASUBUHI-HII
β’ SMS-TAMU-ZA-MAPENZI. 16 Feb 2018 10:18, (featured-sms: ushauri). SMS-TAMU-ZA-MAPENZI
β’ Cheka tena kidogo hapa kwenye hii video ya vituko. 13 Feb 2017 12:07, (videos: vichekesho ushauri). Cheka tena kidogo hapa kwenye hii video ya vituko
β’ Ujumbe mzito kwako kijana. 02 Sep 2016 06:24, (mahusiano: ushauri). Ujumbe mzito kwako kijana
β’ Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya. 08 Oct 2015 02:58, (vichekesho: ushauri). Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya
β’ Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?. 15 Mar 2015 05:14, (wiki: ushauri). Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?
β’ VICHEKESHO-VYA-KUKUONDOA-STRESS. 05 Apr 2018 16:24, (vichekesho-bomba: ushauri). VICHEKESHO-VYA-KUKUONDOA-STRESS
β’ Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani. 29 Oct 2016 01:27, (vichekesho: ushauri). Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani
β’ Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake. 09 Feb 2016 03:00, (vichekesho: ushauri). Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake
β’ Maswali na majibu ya sasa ya Dini ya Kweli. 11 Aug 2017 01:45, (featured-katoliki: ushauri). Maswali na majibu ya sasa ya Dini ya Kweli
β’ VichekeshoTuuSasa. 06 May 2016 07:52, (vichekesho-bomba: ushauri). VichekeshoTuuSasa
β’ Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada. 04 Mar 2017 05:41, (vichekesho: ushauri). Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada
β’ SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako mpendane. 27 Oct 2017 16:03, (sms: ushauri). SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako mpendane
β’ Kati ya hawa wanafunzi wewe ulikua yupi enzi zako ukiwa shuleni?. 24 Jan 2017 00:57, (videos: vichekesho ushauri). Kati ya hawa wanafunzi wewe ulikua yupi enzi zako ukiwa shuleni?
β’ Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake. 08 Oct 2015 02:09, (vichekesho: ushauri). Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake
β’ PICHA-HIZI-ZISIKUPITE. 12 Jun 2016 04:13, (picha-nzuri: ushauri). PICHA-HIZI-ZISIKUPITE
β’ Mwangalie huyu bwana harusi mshamba alivyo muoga. 08 Feb 2017 13:25, (videos: vichekesho ushauri). Mwangalie huyu bwana harusi mshamba alivyo muoga
β’ Jinsi ya kupika mboga ya majani ya mashona nguo. 27 Mar 2015 16:20, (mapishinalishe: familia). Jinsi ya kupika mboga ya majani ya mashona nguo
β’ JIONEE-PICTURES-WAHENGA. 06 Aug 2017 03:35, (picha-nzuri: familia). JIONEE-PICTURES-WAHENGA
β’ VICHEKESHO-ORIGINAL. 18 Sep 2016 03:49, (vichekesho-bomba: familia). VICHEKESHO-ORIGINAL
β’ Kufahamu tabia ya rafiki yako wa kike/kiume kabla ya kuoana hata kama anaishi mbali. 15 Mar 2015 10:04, (wiki: familia). Kufahamu tabia ya rafiki yako wa kike/kiume kabla ya kuoana hata kama anaishi mbali
β’ Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?. 12 Mar 2015 05:05, (wiki: familia). Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?
β’ VITUKO-KWA-MHENGA. 18 Aug 2017 23:17, (vichekesho-na-picha: familia). VITUKO-KWA-MHENGA
β’ VITUKO-VYA-WAZEE. 05 Apr 2018 17:50, (vichekesho-bomba: familia). VITUKO-VYA-WAZEE
β’ SMS ya kumwambia mpenzi wako unavyompenda na hautarajii kumsaliti. 22 Dec 2017 13:16, (sms: familia). SMS ya kumwambia mpenzi wako unavyompenda na hautarajii kumsaliti
β’ VIHOJA-VYA-KISASA. 08 Apr 2018 13:57, (vichekesho-na-picha: familia). VIHOJA-VYA-KISASA
β’ Bonge la nyoka lilivyojibanza kwenye gari. 30 Jan 2017 14:25, (videos: gari nyoka wanyama familia). Bonge la nyoka lilivyojibanza kwenye gari
β’ HIZI. 21 Nov 2016 05:43, (vichekesho-na-picha: familia). HIZI
β’ MAFUNZO-YA-DINI-YA-WAKATOLIKI. 22 Aug 2017 23:42, (katoliki-f: familia). MAFUNZO-YA-DINI-YA-WAKATOLIKI
β’ CHEKI-MHENGA-NA-VIDEOS. 04 Aug 2017 23:58, (videos-kali: familia). CHEKI-MHENGA-NA-VIDEOS
β’ Angalia huyu alivyoponea chupu chupu kugongwa na gari. 07 Feb 2017 00:33, (videos: maajabu familia). Angalia huyu alivyoponea chupu chupu kugongwa na gari
β’ Kinga ya mwili ni nini?. 12 Mar 2015 05:04, (wiki: familia). Kinga ya mwili ni nini?
β’ Posti za msingi za Kanisa Katoliki. 21 Sep 2017 22:13, (featured-katoliki: familia). Posti za msingi za Kanisa Katoliki
β’ ENJOY-WAHENGA-KWA-PICTURES. 06 Aug 2017 03:30, (picha-nzuri: familia). ENJOY-WAHENGA-KWA-PICTURES
β’ Jinsi ya kumfanya mwanamke afurahi na akupende kwa kumfanyia mambo anayoyataka. 09 Mar 2017 06:25, (mahusiano: familia). Jinsi ya kumfanya mwanamke afurahi na akupende kwa kumfanyia mambo anayoyataka
β’ Videos za kufurahisha sana kwa Leo. 15 Feb 2017 08:50, (featured-videos: familia). Videos za kufurahisha sana kwa Leo
β’ MAJIBU-YA-DINI. 20 Aug 2017 06:41, (katoliki-f: familia). MAJIBU-YA-DINI
β’ Cheki huyu simba anachokifanya. 13 Jan 2017 07:19, (videos: maajabu simba wanyama familia). Cheki huyu simba anachokifanya
β’ SOMA-WAHENGA-VICHEKESHO. 23 Jul 2017 03:24, (vichekesho-bomba: mahusiano). SOMA-WAHENGA-VICHEKESHO
β’ Kichekesho cha mke wa mvuvi. 24 Mar 2016 09:06, (vichekesho: mahusiano). Kichekesho cha mke wa mvuvi
β’ Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa. 07 Dec 2016 05:16, (vichekesho: mahusiano). Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa
β’ Kati ya hawa wote nani mbabe?. 15 Jan 2017 19:34, (videos: michezo ngumi mahusiano). Kati ya hawa wote nani mbabe?
β’ VISA-VYA-KUJIENJOY-LEO. 05 Apr 2018 19:36, (vichekesho-bomba: mahusiano). VISA-VYA-KUJIENJOY-LEO
β’ Jinsi ya kupika vizuri Wali Wa Karoti Na Nyama. 18 Jul 2017 04:03, (mapishinalishe: mahusiano). Jinsi ya kupika vizuri Wali Wa Karoti Na Nyama
β’ Videos hizi kali usizikose kwa siku ya leo. 16 Feb 2017 06:12, (featured-videos: mahusiano). Videos hizi kali usizikose kwa siku ya leo
β’ MAJIBU-YA-DINI. 20 Aug 2017 06:41, (katoliki-f: mahusiano). MAJIBU-YA-DINI
β’ MAONI. 20 Aug 2017 06:46, (katoliki-f: mahusiano). MAONI
β’ CHEKA-VICHEKESHO. 07 Nov 2016 12:33, (vichekesho-na-picha: mahusiano). CHEKA-VICHEKESHO
β’ VIHOJA-VYA-KATIKATI-YA-JUMA. 05 Apr 2018 19:12, (vichekesho-bomba: mahusiano). VIHOJA-VYA-KATIKATI-YA-JUMA
β’ VICHEKESHO-KWA-WAHENGA. 22 Jul 2017 16:41, (vichekesho-bomba: mahusiano). VICHEKESHO-KWA-WAHENGA
β’ Angalia hii ajali, mwenzake kakoswa koswa. 05 Jan 2017 02:01, (videos: ajali gari mahusiano). Angalia hii ajali, mwenzake kakoswa koswa
β’ JIONEE-MHENGA-PICTURES. 06 Aug 2017 03:37, (picha-nzuri: mahusiano). JIONEE-MHENGA-PICTURES
β’ Wanawake wengine ni shida, cheki anachofanya hapa sasa. 24 Jan 2017 10:44, (videos: vichekesho mahusiano). Wanawake wengine ni shida, cheki anachofanya hapa sasa
β’ Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu. 04 Feb 2017 05:36, (vichekesho: mahusiano). Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu
β’ Jinsi ya kutengeneza biskuti za Matunda Makavu Na Cornflakes. 07 Jul 2017 16:03, (mapishinalishe: mahusiano). Jinsi ya kutengeneza biskuti za Matunda Makavu Na Cornflakes
β’ Ujumbe mzuri kwa mpenzi wako kumuonyesha upendo. 28 Oct 2017 10:53, (sms: mahusiano). Ujumbe mzuri kwa mpenzi wako kumuonyesha upendo
β’ Mafundisho ya kweli ya Kanisa Katoliki. 08 Aug 2017 03:40, (featured-katoliki: mahusiano). Mafundisho ya kweli ya Kanisa Katoliki
Post preview:
Close preview